MREMBO WA TANZANIA ANAYETAZAMIWA KUWA BILLIONEA.
Jarida la forbes afrika limemtaja miss universe 2010  mrembo hellen Dousen anayetazamiwa kuwa ametabiriwa kuwa anaweza mmoja wa billionea wa afrika kwa siku za usoni aliye chini ya miaka 30.

 CjmW73ZXEAAG4C4  
Hellen amabaye pia ni mwanzilishi wa kampuni ya nuya`s essence ambayo yeye ni mkuregenzi mtendaji anayoshirikiana na kijana mwenzake Edwin Bruno,Jarida hilo linataratibu ya kutoa kila mwaka watu mashuhuri na wachapakazi ambayo wanaingiza vipato vyao kihalali kila mwaka na tukikumbuka vizuri mwaka jana tu ndio ndugu Mohamed Dewji aliyeweza kutajwa kama kijana billionea afrika kupitia Kampuni Yake ya MO enterprises.hellen aliweza kuandika kupitia ukurasa wake wa twitter kama unavyoona hapo chini.

Post a Comment: