September 26, 2016 Bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote DW-TV3 waliandika kuwa tajiri huyo amefariki dunia akiwa nchini Nigeria baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Hii ni post iliyowekwa kwenye mtandao huo.
image
Muda mfupi baada ya kuzuka kwa taarifa hizo, Aliko Dangote alikanusha taarifa hizo kupitia mtandao wa Twitter kwa kupost kuwa yuko Afrika kusini na yuko salama kabisa.
image
Source Millard Ayo

Post a Comment: